Matibabu ya
magonjwa mbalimbali yanahusisha matumizi ya dawa kama nyenzo muhimu katika
kufikia lengo la tiba stahiki.
Katika kutumia
dawa, kuna nyakati ambazo kunatokea maudhi ambayo yanakuwa kama kikwazo kwa
mtumiaji wa dawa husika kwa kutegemeana na tatizo lake la kiafya. Mifano ya
maudhi hayo ni....